Kuhusu Michaud

We are Michaud Girls Secondary School

       MICHAUD GIRLS SECONDARY SCHOOL:-      Ni shule ya Bweni ya Wasichana, iliyopo wilayani Karatu Mkoa wa Arusha. Shule inamilikiwa na watawa( Masista) wa Shilika la Mabinti wa Maria lenye Makao Makuu Yake Kipalapala Mkoa Wa Tabora

       Shule ilianzishwa Januari Mwaka 2016, Ikifanikiwa kuwa nawanafunzi 16. na walimu 5.

        Hadi sasa shule imefanikiwa kuongeza idadi ya wanafunzi kwa kiwangu kikubwa kama inavyo onekana kwenye jedwari na hii ni kutokana na ufaulu mkubwa wa wanafunzi unao changiwa kwa kiasi kikubwa na umahili wa walimu na uongozi wa shule kwa ujumla tokea kuanzishwa kwake.

Idadi ya wanafunzi kwa mwaka 2024

Dalasa
Idadi
Form one
104
Form two
65
Form three
89
Form four
77

Kwasasa shule iko chini ya Sista Lucia Wande kama mkuu wa shule,shule ina waalimu 20 pamoja na wafanyakazi wasio waalimu 12,

Shule ina malengo ya kuwa na wanafunzi 480 hadi kufikia mwaka 2025


Uongozi Wa Shule Mwaka 2023

1. 
Mkuu Wa shule        -  Sr Lucia Wande
2  
Makamu Mkuu Wa Shule     -  Mwl Dioniz Kitambara
Mtaaluma     -  Mwl Daniel Kabigili
Mtaaluma    -  Mwl Frank Haruna

Waalimu wa michaud Girls Sec School

SR. LUCIA WANDE
Mkuu wa Shule
DIONIZ KITAMBARA
Makamu Mkuu wa Shule
Basic mathematics & Computer
DANIEL KABIGILI
Mtaaluma
English & Literature in English
FRANK MKITA
Mtaaluma
Geography & Civics
MADAM MARY MARCO
Mwalimu wa Nidhamu
English & Kiswahili
FESTON ONANDA
Mwalimu wa Nidhamu
Basic Mathematics & Physics
JACKSON NG'OMBI
Mwalimu wa Mazingira
History & Bibble Knowledge
CHRISTOPHER PAUL
Mwalimu wa Michezo
Basic Mathematics & Physics
STEWART STEVEN
Mwalimu wa Chakula
History & Bible knowledge
SUZAN MUSHI
Mwalimu wa Malezi
Geography
Vicent Lubuva
Biology & Chemistry
Boniphace Chacha
Physics & Chemistry
SIR PASCAL NAMAN
Biology & Chemistry
SIR TARMO SARYA
Biology & Chemistry
KISSA MBENA
Kiswahili & History
JUMA KHAMAD
Kiswahili & History
EMANUEL DICKSON MBANILA
Geographyu & Literature in English
DANIEL EMANUEL NDISA
Basic Mathematics & Geography
JOHN GEORGE
Book keeping & Cormarce
GERVAS MMBAGA
Book keeping & Cormarce

Kutana na wanafunzi 12 Wa kwanza kumaliza kidato cha nne 2019

EDELTRUDA ELNEST MALLEY
ELIZABETH JULIUS MATHAYO
ELZABETH MSAFILY EDWARD
ERASWIDA JUVENAL MOSHA
GETRUDA GABRIEL AGUSTINO
HONORINA ALOYCE PACOMI
JANETH DAMAS MAUMBI
JENIPHER DAMAS MAUMBI
LEAH OLOTUMI LAIZER
LULUCATHERINE SALUSTIAN MAGEA
MAUREEN GELARD LYIMO
TATU IDDY SWALEHE